
unyanyasaji wa kijinsia kwa mwanamke mlemavu umekuwa Mara mbili zaidi ya mwanamke asie na ulemavu. Ubakaji,unyanyasaji,
Elimu na Afya

" ili uwafikie viziwi inatakiwa uwe na rasilimali fedha za kutosha, inategemea na jinsi sisi tunatafuta wafadhili mbalimbali. Mfano kwenye programu ya Afya ya uzazi lazima tuwaite wale wahusika kupitia kutoa taarifa kwa viongozi wa tawi kutusaidia kufikisha taarifa kwa walengwa" alisema afisa wa jinsia na maendeleo (CHAVITA) chama cha viziwi tanzania
Changamoto kubwa
vikwazo ni vingi vinavyo wakumba wanawake walemavu licha ya
jitihada za serikali na taasisi binafsa tofauti kuingia katika vita ya
kutetea wanawake kuondokana na unyanyasaji wa kijinsi
Mawasiliano
Sikwamba shule za viziwi shule zipo hamna inchini ila
changamoto ni namna ya hawa wanawake kufika na kujifunza, wengine
wanakosa nafasi ya kujifunza kwa kukosa Ada au fedha ya kuwapelekea au
familia zao kuona hawana umuhimu wa huyu mlemavu kwenda kujifunza lugha
ya alama
Kwa kukosa elimu ya lugha ya salamander. Huyu mwanamke anakosa namna ya kujielezea iwapo atafanyiwaa kitendo chochote cha ukatili
Kwa kukosa elimu ya lugha ya salamander. Huyu mwanamke anakosa namna ya kujielezea iwapo atafanyiwaa kitendo chochote cha ukatili
Mimba zisizotarajiwa na maambukiziya ya magonjwa ya zinaa.
Kwa kukosa namna ya mawasiliano ya kuwawezesha Kupata elimu
juu ya Afya zao wanawake wengi wenye ulemavu wamepitia hii changamoto
na kutokupata namna ya matibabu mapema kwa kukosa elimu ya dhati juu ya
magojwa ambukizi ya zinaa. Wanawake wenyeulemavu wamekosa namna ya
kujitetea hata mbele ya Dora kwa makosa ya kubakwa na kunyanyasika. Haya
ni maisha halisi ya hawa wanawake zaidi ni vijijini ambako elimu ya
usawa haijawafikia.
Nk: Chavita inatoa msingi na ushauri kwa viziwi hakitoi misaada ya kisheria ila kinakuunganisha na vyombo mbalimbali vya kisheria
No comments:
Post a Comment